2°31'E / 33°23'I / Korkeus 1153 m / 17:53 25.03.2026, Africa/Dar_es_Salaam (UTC+3)
Alkaen: 24.03.2026, 21:01
To: 25.03.2026, 20:59
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Rukwa, Kigoma, Katavi na Tabora. UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI Athari zinazoweza kujitokeza: Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji. Zingatia na jiandae.