5°32'S / 36°27'E / Altitudine 1493 m / 14:22 15/03/2026, Africa/Dar_es_Salaam (UTC+3)
Da: 14/03/2026, 21:01
A: 15/03/2026, 20:59
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Ruvuma, Morogoro, Lindi, Mtwara, Mbeya, Iringa, Njombe, Dodoma na Singida. UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI Athari zinazoweza kujitokeza: Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji. Zingatia na jiandae.