6°27'G / 36°56'D / Rakım 1779 m / 13:11 15.03.2026, Africa/Dar_es_Salaam (UTC+3)
saatinden: 14.03.2026, 21:01
ile: 15.03.2026, 20:59
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Ruvuma, Morogoro, Lindi, Mtwara, Mbeya, Iringa, Njombe, Dodoma na Singida. UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI Athari zinazoweza kujitokeza: Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji. Zingatia na jiandae.