• Login
  • Premium
  • myVentusky
  • Forecast
  • Wind Animation
    ECMWF, GFS, ICON, GEM
    App Now Offers Weather Forecasts Tailored to Your Outdoor Activities Forecast

    Warnings - Mlandizi

    World / Tanzania / Coast Region / Mlandizi

    6°43'S / 38°44'E / Altitude 74 m / 18:18 2026/07/22, Africa/Dar_es_Salaam (UTC+3)

    other

    ANGALIZO: UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA

    From: 2026/07/25, 21:00
    To: 2026/07/26, 20:59

    ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa pwani ya Bahari ya Hindi(mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam na pwani(ikijumuisha visiwa vya mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI Athari zinazoweza kujitokeza: Kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi, uvuvi na usafirishaji baharini. Zingatia na jiandae.

    • ukanda wote wa pwani ya Bahari ya Hindi(mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam na pwani(ikijumuisha visiwa vya mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba)
    • Wakazi wa maeneo hatarishi wanashauriwa kuchukuwa hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuzingatia na kujiandaa.
    • [email protected]
    • 2026/07/22, 16:04
    waves

    ADVISORY: STRONG WINDS AND LARGE WAVES

    From: 2026/07/25, 21:00
    To: 2026/07/26, 20:59

    ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). Likelihood: MEDIUM Impact: MEDIUM Impact expected: Disruption of some economic and marine activities. Be prepared.

    • ukanda wote wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba)
    • The Residents of high risk areas are advised TO TAKE preventive measures. TMA will continue to monitor the situation and issue updates when necessary.
    • [email protected]
    • 2026/07/22, 15:56